Grace and Truth

This website is under construction !

Search in "Kiswahili":
Home -- Kiswahili -- 17-Understanding Islam -- 002 (CHAPTER ONE: THE REGION BEFORE ISLAM)
This page in: -- Arabic? -- Bengali -- Cebuano? -- English -- French -- Hausa -- Hindi -- Igbo -- Indonesian -- KISWAHILI -- Malayalam -- Russian -- Somali -- Ukrainian? -- Yoruba?

Previous Chapter -- Next Chapter

17. Ufahamu Uislamu
SEHEMU YA KWANZA: UFAHAMU MWANZO WA UISLAMU

SURA YA KWANZA: DINI KABLA YA UISLAMU


Ili tuweze kufahamu athari za mafundisho ya Muhammad, tunahitaji kujua kwa uchache juu yajamii ya Kiarabu kabla ya Uislamu. Jamii hii haikuwa na usawa kwa namna yoyote ile; badala yake, eneo hilo lilikaliwa na jamii kadhaa tofauti; kila jamii na desturi zake,mazoea na imani. Hivyo basi tutaanza, kwa kutazama kila moja wapo ya makundi ya jamii hizi, kasha tutamaliza sura hii kwa kulenga zaidi eneo alilozaliwa Muhammad, mji wa kibiashara Urabuni wa Maka.

www.Grace-and-Truth.net

Page last modified on March 03, 2024, at 05:32 AM | powered by PmWiki (pmwiki-2.3.3)