Home
Links
Contact
About us
Impressum
Site Map?


Afrikaans
عربي
বাংলা
Dan (Mande)
Bahasa Indones.
Cebuano
Deutsch
English-1
English-2
Español
Français
Hausa/هَوُسَا
עברית
हिन्दी
Igbo
ქართული
Kirundi
Kiswahili
മലയാളം
O‘zbek
Peul
Português
Русский
Soomaaliga
தமிழ்
తెలుగు
Türkçe
Twi
Українська
اردو
Yorùbá
中文



Home (Old)
Content (Old)


Indonesian (Old)
English (Old)
German (Old)
Russian (Old)\\

Home -- Kiswahili -- 17-Understanding Islam -- 054 (Lack of trust in Christ’s work)
This page in: -- Arabic? -- Bengali -- Cebuano? -- English -- French -- Hausa -- Hindi -- Igbo -- Indonesian -- KISWAHILI -- Malayalam -- Russian -- Somali? -- Ukrainian? -- Yoruba?

Previous Chapter -- Next Chapter

17. Ufahamu Uislamu
SEHEMU YA NNE: FAHAMU VIKWAZO VYA KIISLAMU DHIDI YA INJILI
SURA YA TISA: VIKWAZO VYA WAKRISTO KUSHINDA WANAPOWAINJILISHA WAISLAMU

9.9. Ukosefu wa kuamini katika kazi ya Kristo


Mara nyingi Wakristo wanaweza kusikia kuhusu mtu fulani kuongokea kuingia Uislamu. Hii inasherekewa sana na Waislamu na saa zingine vyombo vya habari vya kawaida, lakini mara chache sana tunasikia Muislamu kuongoka na kuwa Mkristo. Waislamu wanaongoka kuingia kwenye Ukristo wanakuwa kimya, ama kwa sababu ya hatari ya tishio dhidi ya maisha yao kwa ajili ya kuongoka kwao, au kwa sababu wakati mwingine hawaaminiwi. Hii inachangiwa na dhana kwamba haiwezekani kabisa kwa Muislamu kuwa Mkristo. Hii inatuonyesha wazi kwamba kuna ukosefu wa imani, na dhana inayosema kwamba hii ni ngumu sana kwa Mungu, Licha ya Biblia kujaa matukio na rejea ya watu hatari na waliofanya mambo maovu na bado waliokolewa na Mungu katika Huruma yake ( Hatukuwa wote sawa mbali na Mungu kabla hatujaamini?).

www.Grace-and-Truth.net

Page last modified on March 10, 2024, at 12:12 PM | powered by PmWiki (pmwiki-2.3.3)