Home
Links
Contact
About us
Impressum
Site Map?


Afrikaans
عربي
বাংলা
Dan (Mande)
Bahasa Indones.
Cebuano
Deutsch
English-1
English-2
Español
Français
Hausa/هَوُسَا
עברית
हिन्दी
Igbo
ქართული
Kirundi
Kiswahili
മലയാളം
O‘zbek
Peul
Português
Русский
Soomaaliga
தமிழ்
తెలుగు
Türkçe
Twi
Українська
اردو
Yorùbá
中文



Home (Old)
Content (Old)


Indonesian (Old)
English (Old)
German (Old)
Russian (Old)\\

Home -- Kiswahili -- 17-Understanding Islam -- 089 (Legal threat)
This page in: -- Arabic? -- Bengali -- Cebuano? -- English -- French -- Hausa -- Hindi -- Igbo -- Indonesian -- KISWAHILI -- Malayalam -- Russian -- Somali? -- Ukrainian? -- Yoruba?

Previous Chapter -- Next Chapter

17. Ufahamu Uislamu
SEHEMU YA SITA: FAHAMU WAONGOFU KUTOKA UISLAMU
SURA YA KUMI NA NNE: SHIDA ZA KIJAMII WANAZOKU TANA NAZO WAONGOFU WAPYA

14.5. Tishio la Kisheria


Katika nchi za Kiislamu, Kuacha Uislamu ni jinai na inaadhibiwa kwa kifungo cha jela; katika nchi chache, adhabu yake ni kifo. Hii kwa kawaida ni jambo la kuogofya sana! Kama muongofu mpya amejiunga na kanisa lako, Ni vizuri kujua hatari wanazochukua kwa kushirikiana na wewe, kuwa makini na hofu ya muongofu, na kuchukua tahadhari zote za kiusalama zinazowezekana. Hii haina maana kwamba tuwahimize Wakristo wapya kutokuchukulia maanani imani yao, Lakini kuna hatari fulani ambazo zipo na hazitakiwi kupuuzwa, Kwa namna yoyote tutaomba pamoja namuongofu na kumuombea pia, na kumsaidia kimwili (mwanafamilia wao) ikiwa wataishia kukamatwa na kufungwa.

Ikiwa ndio au la kwamba kanisa lako lina muongofu aliye hatarini, unaweza kutakiwa kufuatilia, kuchangia, au kujihusisha na kazi ya Mashirika ya Kikristo kama vile Barnabas Fund, Open Doors, na Voice of Martyrs ambao wanafanya kazi ya kulinda na kusaidia kanisa linaloteswa na watu binafsi. Mashirika hayo yana sehemu muhimu sana ya kufanya.

www.Grace-and-Truth.net

Page last modified on March 11, 2024, at 02:57 AM | powered by PmWiki (pmwiki-2.3.3)