Grace and TruthThis website is under construction ! |
|
Home Afrikaans |
Home -- Kiswahili -- 17-Understanding Islam -- 088 (Existing marriage to a Muslim)
This page in: -- Arabic? -- Bengali -- Cebuano? -- English -- French -- Hausa -- Hindi -- Igbo -- Indonesian -- KISWAHILI -- Malayalam -- Russian -- Somali? -- Ukrainian? -- Yoruba?
Previous Chapter -- Next Chapter 17. Ufahamu Uislamu
SEHEMU YA SITA: FAHAMU WAONGOFU KUTOKA UISLAMU
SURA YA KUMI NA NNE: SHIDA ZA KIJAMII WANAZOKU TANA NAZO WAONGOFU WAPYA
14.4. Ndoa inayoendelea kuwa hai na MuislamuWaongofu ambao tayari wameshaoa nao wanakutana na mpangilio mwingi wa matatizo. Tunaweza kuwa na Mwanamme mwenye mitaala (Wake wengi) anaongoka nao au bila yoyote kati yao au pamoja na zaidi ya mke mmoja na anaweza kuwa tayari ana watoto nao. Au tunaweza kuwa Mwanamke mwenye ndoa anaongoka bila mme wake. Matatizo haya yajadiliwe na kanisa mahalia na katika maudhui ya Kanisa nzima lote (Ni aina ya mjadala ambao tunatakiwa kuwa nao kwenye vyuo vyetu na sinodi). Lakini katika ngazi ya mahalia, Lazima tuwe makini sana na magumu yatakayoletwa na jambo hili na kwa kutoa msaada wa Kimwili, Kihisia na Kiroho. |