Home
Links
Contact
About us
Impressum
Site Map?


Afrikaans
عربي
বাংলা
Dan (Mande)
Bahasa Indones.
Cebuano
Deutsch
English-1
English-2
Español
Français
Hausa/هَوُسَا
עברית
हिन्दी
Igbo
ქართული
Kirundi
Kiswahili
മലയാളം
O‘zbek
Peul
Português
Русский
Soomaaliga
தமிழ்
తెలుగు
Türkçe
Twi
Українська
اردو
Yorùbá
中文



Home (Old)
Content (Old)


Indonesian (Old)
English (Old)
German (Old)
Russian (Old)\\

Home -- Kiswahili -- 17-Understanding Islam -- 092 (Be welcoming despite caution)
This page in: -- Arabic? -- Bengali -- Cebuano? -- English -- French -- Hausa -- Hindi -- Igbo -- Indonesian -- KISWAHILI -- Malayalam -- Russian -- Somali? -- Ukrainian? -- Yoruba?

Previous Chapter -- Next Chapter

17. Ufahamu Uislamu
SEHEMU YA SITA: FAHAMU WAONGOFU KUTOKA UISLAMU
SURA YA KUMI NA TANO: USHAURI KWA KANISA

15.1. Kuwa Mkaribishaji licha ya tahadhari


Baadhi ya makanisa hawawakubali waongofu wapya kwa urahisi, katika baadhi ya mazingira ni kwa sababu ya tahadhari kwamba wanaweza kuwa watoa taarifa wa Polisi- ambayo huwa inatokea katika baadhi ya nchi. Katika mazingira mengine unaweza kuwa hauna uhakika kama huyu mtu ameamini kweli na kama ana nia ya kweli, au kwamba wana malengo mengine yaliyojificha. Hizi ni tahadhari za kweli, Lakini hazitakiwi kutuzuia kuhubiri katika Pendo.

www.Grace-and-Truth.net

Page last modified on March 11, 2024, at 03:16 AM | powered by PmWiki (pmwiki-2.3.3)