Grace and TruthThis website is under construction ! |
|
Home Afrikaans |
Home -- Kiswahili -- 17-Understanding Islam -- 093 (Don't close ranks)
This page in: -- Arabic? -- Bengali -- Cebuano? -- English -- French -- Hausa -- Hindi -- Igbo -- Indonesian -- KISWAHILI -- Malayalam -- Russian -- Somali? -- Ukrainian? -- Yoruba?
Previous Chapter -- Next Chapter 17. Ufahamu Uislamu
SEHEMU YA SITA: FAHAMU WAONGOFU KUTOKA UISLAMU
SURA YA KUMI NA TANO: USHAURI KWA KANISA
15.2. UsijitengeMakanisa mengi, mara nyingi kwa sababu za hisia za kweli za familia na upendo kwa kila mmoja, wanachukua ugumu wa kuwa karibu na watu wa nje ya familia. Labda umewahi kukutana na hili ulipotembelea kanisa jipya. Bila shaka sio kwa Waislamu tu, au Waliokuwa Waislamu zamani wanaoweza kujiskia hivi lakini kwa kuangalia tofauti za makuzi na asili, kuna hatari kubwa kwa muongofu kujihisi kama mtu wa nje.Hakikisha unawakaribisha wapya wanaokuja. |