Home
Links
Contact
About us
Impressum
Site Map?


Afrikaans
عربي
বাংলা
Dan (Mande)
Bahasa Indones.
Cebuano
Deutsch
English-1
English-2
Español
Français
Hausa/هَوُسَا
עברית
हिन्दी
Igbo
ქართული
Kirundi
Kiswahili
മലയാളം
O‘zbek
Peul
Português
Русский
Soomaaliga
தமிழ்
తెలుగు
Türkçe
Twi
Українська
اردو
Yorùbá
中文



Home (Old)
Content (Old)


Indonesian (Old)
English (Old)
German (Old)
Russian (Old)\\

Home -- Kiswahili -- 17-Understanding Islam -- 096 (Avoid special treatment)
This page in: -- Arabic? -- Bengali -- Cebuano? -- English -- French -- Hausa -- Hindi -- Igbo -- Indonesian -- KISWAHILI -- Malayalam -- Russian -- Somali? -- Ukrainian? -- Yoruba?

Previous Chapter -- Next Chapter

17. Ufahamu Uislamu
SEHEMU YA SITA: FAHAMU WAONGOFU KUTOKA UISLAMU
SURA YA KUMI NA TANO: USHAURI KWA KANISA

15.5. Epuka upendeleo maalumu


Wakati mtu anapokuja katika imani, hii ni miongoni mwa sababu za furaha kuu. Tunaweza kujaribiwa kufikiri kwamba anayeokoka kutoka Uislamu ni muujiza mkuu kuliko wa Yule anayetoka kwenye ukristo wa jina, ingawa badiliko la moyo ni kazi kubwa ya Bwana. Kunaweza kuwa na tabia ya kumweka muongofu mpya mahali pa juu pa weko, kumchukulia katika umaalumu kuliko kutambua kwamba Mkristo mpya bado wanahitaji kutiwa moyo, kusaidiwa, kuwa na nidhamu kama vile tu ilivyo kwa waamini waliotoka kwenye asili zingine. Kwa ungalifu mkubwa inaweza kuwa jambo lenye afya, inaweza kukaza zaidi kwenye ushuhuda wao binafsi kuliko kazi ya Yesu inayoendelea kwenye maisha yao.

www.Grace-and-Truth.net

Page last modified on March 11, 2024, at 03:04 AM | powered by PmWiki (pmwiki-2.3.3)