Home
Links
Contact
About us
Impressum
Site Map?


Afrikaans
عربي
বাংলা
Dan (Mande)
Bahasa Indones.
Cebuano
Deutsch
English-1
English-2
Español
Français
Hausa/هَوُسَا
עברית
हिन्दी
Igbo
ქართული
Kirundi
Kiswahili
മലയാളം
O‘zbek
Peul
Português
Русский
Soomaaliga
தமிழ்
తెలుగు
Türkçe
Twi
Українська
اردو
Yorùbá
中文



Home (Old)
Content (Old)


Indonesian (Old)
English (Old)
German (Old)
Russian (Old)\\

Home -- Kiswahili -- 17-Understanding Islam -- 097 (Follow Scripture not your own ideas)
This page in: -- Arabic? -- Bengali -- Cebuano? -- English -- French -- Hausa -- Hindi -- Igbo -- Indonesian -- KISWAHILI -- Malayalam -- Russian -- Somali? -- Ukrainian? -- Yoruba?

Previous Chapter -- Next Chapter

17. Ufahamu Uislamu
SEHEMU YA SITA: FAHAMU WAONGOFU KUTOKA UISLAMU
SURA YA KUMI NA TANO: USHAURI KWA KANISA

15.6. Fuata Maandiko matakatifu sio mitazamo yako


Usikwepe mambo ya msingi kwa sababu ya shauku ya kutokumkwaza mtu au kuumiza hisia zake, Kinyume chake zinahitaji kushughulikiwa.Miongoni mwa matatizo tunayokutana nayo maishani ni kwa sababu tumekuwa sana watu kujali ubinadamu sana. Mara nyingi tunafikiri kwamba tunajua namna maisha ynavyotakiwa kuwa kuliko Mungu. Ebu angalia kanisa linaloonekana leo. Tunajitahidi kudharau mafundisho ambayo tunadhani hayawezi kupokelewa katika jamii, na saa zingine kwa vitendo kabisa tunaweza kwenda kinyume nayo. Hii inaweza kumpa mwongofu mpya kibali cha kufanya hivyo hivyo, Bila kujirekebisha na kuendelea na matendo yasiyo ya Kibiblia ambayo wametoka nayo kutoka maisha yao ya zamani, au kudharau mafundisho wasiotaka kuyapokea. Mtume Paulo anasema:

“Kwa sababu mwili hutamani ukishindana na Roho, na Roho kushindana na mwili; kwa maana hizi zimepingana, hata hamwezi kufanya mnayotaka” (Wagalatia 5:17)

www.Grace-and-Truth.net

Page last modified on March 11, 2024, at 03:05 AM | powered by PmWiki (pmwiki-2.3.3)