Previous Chapter -- Next Chapter
7.1. Kristo aliumba
Kristo anasema katika Qur’an:
Hivyo Qur’an inamwelezea Kristo kama muumbaji; inashangaza kwamba Qur’an inasema Kristo aliumba kwa kutumia udongo bidhaa hiyo hiyo ndiyo aliyotumua Allah kumuumba Adam katika Qur’ an:
Mtazamo kwamba Kristo anafanya hivyo “kwa idhini ya Mungu” inafanana sana na kile alichokisema Kristo kwenye Agano jibya:
Tofauti ni kwamba wakati Injili inabainisha umoja wa Utatu na kwamba Kristo alikuja kufanya mapenzi ya baba, Qur’an haifafanui muujiza huo bali inataja muujiza huo wa kuumba katika orodha ya vitu alivyofanya Kristo. Kusema kwamba aliyafanya kwa idhini ya Mungu havihusihani na haviwezi kuthibitisha kwamba Kristo asingeweza kuwa Mungu isipokuwa anakuwa mtu wa kawaida tofauti, Kwa Wakristo hawawezi kusema kwamba mapenzi ya Kristo ni tofauti na mapenzi ya baba- Kiukweli mapenzi yao lazima yawe mamoja tu!
Hivyo tunabakiwa na ukweli huu: Zaidi ukiacha Allah, hakuna yoyote mwingine aliyepewa sifa ya kuwa muumbaji zaidi ya Kristo ndani ya Qur’an.