Grace and Truth

This website is under construction !

Search in "Kiswahili":
Home -- Kiswahili -- 17-Understanding Islam -- 068 (Christian beliefs foreign to Islam)
This page in: -- Arabic? -- Bengali -- Cebuano? -- English -- French -- Hausa -- Hindi -- Igbo -- Indonesian -- KISWAHILI -- Malayalam -- Russian -- Somali? -- Ukrainian? -- Yoruba?

Previous Chapter -- Next Chapter

17. Ufahamu Uislamu
SEHEMU YA NNE: FAHAMU VIKWAZO VYA KIISLAMU DHIDI YA INJILI
SURA YA KUMI NA MBILI: ULINGANIFU MFUPI WA MADA KATIKA BIBLIA NA QUR’AN

12.3. Imani za Kikristo zilizo ngeni kwenye Uislamu


  1. Dhambi ya asili.
  2. Kila mmoja amezaliwa na dhambi.
  3. Kuna aina sheria ya dhamira iliyowekwa na Mungu kwa kila mwanadamu kwenye utashi.
  4. Utakatifu wa Mungu unaofanya asiweze kuitazama dhambi.
  5. Haja ya ukombozi.
  6. Kwamba hatuwezi kujiokoa.
  7. Haja ya kafara.
  8. Kusulubiwa na kufufuka kwa Yesu.

Hii sio orodha pana, lakini inakupa kwa ufasaha wa dhana ya aina ya mjadala unayoweza kuwa nayo. Utakuta unaongea na mtu ambaye ana mawazo yenye nguvu kuhusu mambo unayoyaamini hata bila kujua kwa ufasaha hasa unaamini nini? Tukiweza kumfanya Muislamu kuwaza kwa umakinifu na katika mfufulizo sahihi, hii itakuwa ni hatua kubwa sana ya kuendelea mbele. Kwa mfano, Ukikuta Muislamu akipinga Mkristo kusali bila kutawadha, tunatakiwa tuwarejeshe nyuma na kuongelea maana ya kiroho ya maombi, aina ya maandalizi ya kiroho ya maombi, jinsi gani hiyo ni muhimu kuliko mambo ya nje yanayoonekana. Lazima tuonyeshe umuhimu wa mambo ya rohoni kuliko ya mwilini.

www.Grace-and-Truth.net

Page last modified on March 10, 2024, at 01:44 PM | powered by PmWiki (pmwiki-2.3.3)