Home
Links
Contact
About us
Impressum
Site Map?


Afrikaans
عربي
বাংলা
Dan (Mande)
Bahasa Indones.
Cebuano
Deutsch
English-1
English-2
Español
Français
Hausa/هَوُسَا
עברית
हिन्दी
Igbo
ქართული
Kirundi
Kiswahili
മലയാളം
O‘zbek
Peul
Português
Русский
Soomaaliga
தமிழ்
తెలుగు
Türkçe
Twi
Українська
اردو
Yorùbá
中文



Home (Old)
Content (Old)


Indonesian (Old)
English (Old)
German (Old)
Russian (Old)\\

Home -- Kiswahili -- 17-Understanding Islam -- 084 (CHAPTER FOURTEEN: SOCIETAL DIFFICULTIES FACED BY NEW CONVERTS FROM ISLAM)
This page in: -- Arabic? -- Bengali -- Cebuano? -- English -- French -- Hausa -- Hindi -- Igbo -- Indonesian -- KISWAHILI -- Malayalam -- Russian -- Somali? -- Ukrainian? -- Yoruba?

Previous Chapter -- Next Chapter

17. Ufahamu Uislamu
SEHEMU YA SITA: FAHAMU WAONGOFU KUTOKA UISLAMU

SURA YA KUMI NA NNE: SHIDA ZA KIJAMII WANAZOKU TANA NAZO WAONGOFU WAPYA


Yesu hakuwahi kusema kwamba maisha yatakuwa rahisi kwa anayemfuata Kristo. Kwa kweli alisema kinyume chake (Angalia Matendo 9:16, Matendo 14:22, Matendo 20:23 na Wafilipi 1:29) Wakristo wanaotoka kwenye Uislamu wanaweza kukutana na shida za kipekee kwao. Shida zitatofautiona kulingana na nchi na nchi, familia na familia, na mtu na mtu, lakini hapa tutaangazia baadhi ya changamoto ya uamuzi wa kumfuata kristo ili kwamba uweze kuzingatia namna nzuri unayoweza kutumia kuwasaidia waongofu wapya katika familia ya kanisa lako.

www.Grace-and-Truth.net

Page last modified on March 11, 2024, at 02:51 AM | powered by PmWiki (pmwiki-2.3.3)