Grace and TruthThis website is under construction ! |
|
Home Afrikaans |
Home -- Kiswahili -- 17-Understanding Islam -- 084 (CHAPTER FOURTEEN: SOCIETAL DIFFICULTIES FACED BY NEW CONVERTS FROM ISLAM)
This page in: -- Arabic? -- Bengali -- Cebuano? -- English -- French -- Hausa -- Hindi -- Igbo -- Indonesian -- KISWAHILI -- Malayalam -- Russian -- Somali? -- Ukrainian? -- Yoruba?
Previous Chapter -- Next Chapter 17. Ufahamu Uislamu
SEHEMU YA SITA: FAHAMU WAONGOFU KUTOKA UISLAMU
SURA YA KUMI NA NNE: SHIDA ZA KIJAMII WANAZOKU TANA NAZO WAONGOFU WAPYAYesu hakuwahi kusema kwamba maisha yatakuwa rahisi kwa anayemfuata Kristo. Kwa kweli alisema kinyume chake (Angalia Matendo 9:16, Matendo 14:22, Matendo 20:23 na Wafilipi 1:29) Wakristo wanaotoka kwenye Uislamu wanaweza kukutana na shida za kipekee kwao. Shida zitatofautiona kulingana na nchi na nchi, familia na familia, na mtu na mtu, lakini hapa tutaangazia baadhi ya changamoto ya uamuzi wa kumfuata kristo ili kwamba uweze kuzingatia namna nzuri unayoweza kutumia kuwasaidia waongofu wapya katika familia ya kanisa lako. |