Home -- Kiswahili -- 17-Understanding Islam -- 053 (Lack of Biblical knowledge)
This page in: -- Arabic? -- Bengali -- Cebuano? -- English -- French -- Hausa -- Hindi -- Igbo -- Indonesian -- KISWAHILI -- Malayalam -- Russian -- Somali -- Ukrainian? -- Yoruba?
Previous Chapter -- Next Chapter
17. Ufahamu Uislamu
SEHEMU YA NNE: FAHAMU VIKWAZO VYA KIISLAMU DHIDI YA INJILI
SURA YA TISA: VIKWAZO VYA WAKRISTO KUSHINDA WANAPOWAINJILISHA WAISLAMU
9.8. Ukosefu wa ufahamu wa Kibiblia
Wakristo wengi hawatumii mda kujifunza Ukristo, mara kwa mara kupitia uvivu au ukosefu wa mwelekeo sahihi. Kwa sababu hiyo, hawawezi kwa uimara kushiriki katika kuhubiri Injili au kujibu maswali yanayotolewa na wasio-Wakristo. Kuna haja kubwa sana ya Wakristo kujifunza Biblia, theolojia na historia na kadhalika. Kujifunza huko kutaimarisha imani yao wenyewe na kuwasaidia wawe tayari kujibu kila anayeuliza habari ya tumaini lililo ndani yao kama ilivyoamriwa na Biblia (1 Petro 3:15).