Grace and TruthThis website is under construction ! |
|
Home Afrikaans |
Home -- Kiswahili -- 17-Understanding Islam -- 045 (CHAPTER NINE: BARRIERS FOR CHRISTIANS TO OVERCOME WHEN EVANGELISING MUSLIMS)
This page in: -- Arabic? -- Bengali -- Cebuano? -- English -- French -- Hausa -- Hindi -- Igbo -- Indonesian -- KISWAHILI -- Malayalam -- Russian -- Somali? -- Ukrainian? -- Yoruba?
Previous Chapter -- Next Chapter 17. Ufahamu Uislamu
SEHEMU YA NNE: FAHAMU VIKWAZO VYA KIISLAMU DHIDI YA INJILI
SURA YA TISA: VIKWAZO VYA WAKRISTO KUSHINDA WANAPOWAINJILISHA WAISLAMUInapokuja suala la kumtambulisha Kristo wa waislamu hakuna anayeweza kukanusha ugumu wa kazi hiyo. Wengine wamezingatia kama jambo lisilowezekana kabisa. Ingawa japo nakubaliana na ugumu wa kazi yenyewe, lakini siichukulii kama kazi isiyowezekana kwa namna yoyote ile. Kwa ugumu wa kazi yenyewe, kuna sababu nyingi kwa ajili ya ugumu huo. Baadhi ya sababu hizi vinatokana na Mkristo mwenyewe, na hizi ndizo ambazo tutaziangazia kwanza. Katika sura zinazofuata tutaangazia hizi sababu za ugumu zinazoleta changamoto kwa Waislamu, ambazo kwa pamoja ni muhimu na zenye msaada kwa Wakristo kuwa na tahadhari nazo. Lakini kwaza na tuzingatie swali la kwa nini tunapaswa kumtambulisha Kristo kwa Waislamu.Je tuna uchaguzi, au ni jambo ambalo sisi wakristo tunaweza kulikwepa? |