Grace and TruthThis website is under construction ! |
|
Home Afrikaans |
Home -- Kiswahili -- 17-Understanding Islam -- 061 (Political Islam)
This page in: -- Arabic? -- Bengali -- Cebuano? -- English -- French -- Hausa -- Hindi -- Igbo -- Indonesian -- KISWAHILI -- Malayalam -- Russian -- Somali? -- Ukrainian? -- Yoruba?
Previous Chapter -- Next Chapter 17. Ufahamu Uislamu
SEHEMU YA NNE: FAHAMU VIKWAZO VYA KIISLAMU DHIDI YA INJILI
SURA YA KUMI: VIKWAZO VYA KIJAMII KWA WAISLAMU WANAPOTAFAKARI KUWA WAKRISTO
10.4. Uislamu wa KisiasaWaislamu wanasema kwamba Uislamu ni dini na wakati huo huo ni dola, na mtazamo wa namna hiyo wa Waislamu unafanya waone Uislamu kama utambulisho wa Kijamii na Kisiasa. Kuacha Uislamu itachukuliwa kama uhaini wa juu zaidi. Hata Waislamu wasiofuata dini sana bado wanashikilia kwa thibati utambulisho huu. |