Home
Links
Contact
About us
Impressum
Site Map?


Afrikaans
عربي
বাংলা
Dan (Mande)
Bahasa Indones.
Cebuano
Deutsch
English-1
English-2
Español
Français
Hausa/هَوُسَا
עברית
हिन्दी
Igbo
ქართული
Kirundi
Kiswahili
മലയാളം
O‘zbek
Peul
Português
Русский
Soomaaliga
தமிழ்
తెలుగు
Türkçe
Twi
Українська
اردو
Yorùbá
中文



Home (Old)
Content (Old)


Indonesian (Old)
English (Old)
German (Old)
Russian (Old)\\

Home -- Kiswahili -- 17-Understanding Islam -- 062 (The law of apostasy)
This page in: -- Arabic? -- Bengali -- Cebuano? -- English -- French -- Hausa -- Hindi -- Igbo -- Indonesian -- KISWAHILI -- Malayalam -- Russian -- Somali? -- Ukrainian? -- Yoruba?

Previous Chapter -- Next Chapter

17. Ufahamu Uislamu
SEHEMU YA NNE: FAHAMU VIKWAZO VYA KIISLAMU DHIDI YA INJILI
SURA YA KUMI: VIKWAZO VYA KIJAMII KWA WAISLAMU WANAPOTAFAKARI KUWA WAKRISTO

10.5. Sheria ya Kuritadi


Uislamu unafundisha kwamba yoyote anayeacha Uislamu ni msaliti na anapaswa kuuwawa. Hata mahali ambapo hili halitokei, mtu aliyeritadi bado atatengwa na familia, na atahatarisha kupoteza mali zao, kazi, mke au mme, watoto na kadhalika. Hivyo ni kusema wanachukulia kwamba hakuna yoyote mwenye akili timamu atakayechukua uamuzi wa kuacha Uislamu!

www.Grace-and-Truth.net

Page last modified on March 10, 2024, at 12:32 PM | powered by PmWiki (pmwiki-2.3.3)