Grace and TruthThis website is under construction ! |
|
Home Afrikaans |
Home -- Kiswahili -- 17-Understanding Islam -- 062 (The law of apostasy)
This page in: -- Arabic? -- Bengali -- Cebuano? -- English -- French -- Hausa -- Hindi -- Igbo -- Indonesian -- KISWAHILI -- Malayalam -- Russian -- Somali? -- Ukrainian? -- Yoruba?
Previous Chapter -- Next Chapter 17. Ufahamu Uislamu
SEHEMU YA NNE: FAHAMU VIKWAZO VYA KIISLAMU DHIDI YA INJILI
SURA YA KUMI: VIKWAZO VYA KIJAMII KWA WAISLAMU WANAPOTAFAKARI KUWA WAKRISTO
10.5. Sheria ya KuritadiUislamu unafundisha kwamba yoyote anayeacha Uislamu ni msaliti na anapaswa kuuwawa. Hata mahali ambapo hili halitokei, mtu aliyeritadi bado atatengwa na familia, na atahatarisha kupoteza mali zao, kazi, mke au mme, watoto na kadhalika. Hivyo ni kusema wanachukulia kwamba hakuna yoyote mwenye akili timamu atakayechukua uamuzi wa kuacha Uislamu! |