Home
Links
Contact
About us
Impressum
Site Map?


Afrikaans
عربي
বাংলা
Dan (Mande)
Bahasa Indones.
Cebuano
Deutsch
English-1
English-2
Español
Français
Hausa/هَوُسَا
עברית
हिन्दी
Igbo
ქართული
Kirundi
Kiswahili
മലയാളം
O‘zbek
Peul
Português
Русский
Soomaaliga
தமிழ்
తెలుగు
Türkçe
Twi
Українська
اردو
Yorùbá
中文



Home (Old)
Content (Old)


Indonesian (Old)
English (Old)
German (Old)
Russian (Old)\\

Home -- Kiswahili -- 17-Understanding Islam -- 063 (Something never heard of)
This page in: -- Arabic? -- Bengali -- Cebuano? -- English -- French -- Hausa -- Hindi -- Igbo -- Indonesian -- KISWAHILI -- Malayalam -- Russian -- Somali? -- Ukrainian? -- Yoruba?

Previous Chapter -- Next Chapter

17. Ufahamu Uislamu
SEHEMU YA NNE: FAHAMU VIKWAZO VYA KIISLAMU DHIDI YA INJILI
SURA YA KUMI: VIKWAZO VYA KIJAMII KWA WAISLAMU WANAPOTAFAKARI KUWA WAKRISTO

10.6. Kitu ambacho hakijawahi kusikiwa


Ingawa- kama ilivyoonyeshwa katika sura iliyopita- watu wanaojiunga na Uislamu ndio mara nyingi huongelewa na wakati mwingine kusherekewa kwenye vyombo vya habari, na kujiunga na Ukristo inafichwa kwa ajili ya sababu za usalama-au –ikijulikana- haiongelewi au kutajwa kwenye vyombo vya habari. Ndio Kusema Muislamu hasa hatajua kuhusu muislamu hata mmoja ambaye amekuwa Mkristo na kuacha Uislamu- kamwe. Kwao, Kuongoka kutoka Uislamu ni jambo lisilowezekana kabisa na haiwezi kutokea. Ni jambo ambalo wala sio kuulizia, sio jambo la kuizingatia na kuisema.

www.Grace-and-Truth.net

Page last modified on March 10, 2024, at 12:33 PM | powered by PmWiki (pmwiki-2.3.3)