Home
Links
Contact
About us
Impressum
Site Map?


Afrikaans
عربي
বাংলা
Dan (Mande)
Bahasa Indones.
Cebuano
Deutsch
English-1
English-2
Español
Français
Hausa/هَوُسَا
עברית
हिन्दी
Igbo
ქართული
Kirundi
Kiswahili
മലയാളം
O‘zbek
Peul
Português
Русский
Soomaaliga
தமிழ்
తెలుగు
Türkçe
Twi
Українська
اردو
Yorùbá
中文



Home (Old)
Content (Old)


Indonesian (Old)
English (Old)
German (Old)
Russian (Old)\\

Home -- Kiswahili -- 17-Understanding Islam -- 066 (Areas of agreement)
This page in: -- Arabic? -- Bengali -- Cebuano? -- English -- French -- Hausa -- Hindi -- Igbo -- Indonesian -- KISWAHILI -- Malayalam -- Russian -- Somali? -- Ukrainian? -- Yoruba?

Previous Chapter -- Next Chapter

17. Ufahamu Uislamu
SEHEMU YA NNE: FAHAMU VIKWAZO VYA KIISLAMU DHIDI YA INJILI
SURA YA KUMI NA MBILI: ULINGANIFU MFUPI WA MADA KATIKA BIBLIA NA QUR’AN

12.1. Maeneo ya makubalino


  1. Mungu ndiye muumbaji na Mdhibiti wa ulimwengu (ingawa mtazamo wa Kiislamu ni mbaya).
  2. Mungu ni Mkuu aliye huru.
  3. Kuna maisha baada Kufa.
  4. Kuna adhabu ya milele na thawabu ( japo hatukubaliani kwenu mafafanuzi).
  5. Kuna roho mbaya na zuri (kama vile Malaika, Waislamu wanaamini katika majini, kuna majini wema na wabaya)
  6. Yesu alizaliwa na bikira kupitia muujiza wa mimba yake kutungwa.
  7. Yesu aliishi maisha yasio na dhambi.
  8. Yesu alitenda miujiza mingi.
  9. Yesu ni Masihi (Lakini Waislamu hawaelewi maana ya Kibiblia ya Masihi).
  10. Yesu alipaa kwenda mbinguni (Lakini Waislamu hawaamini katika kufa na kufufuka kwa Kristo).
  11. Kuna mbingu na kuzimu (japo kuna kutokukubaliana kwa muhimu sana juu ya taarifa za huko).

www.Grace-and-Truth.net

Page last modified on March 10, 2024, at 01:39 PM | powered by PmWiki (pmwiki-2.3.3)