Home
Links
Contact
About us
Impressum
Site Map?


Afrikaans
عربي
বাংলা
Dan (Mande)
Bahasa Indones.
Cebuano
Deutsch
English-1
English-2
Español
Français
Hausa/هَوُسَا
עברית
हिन्दी
Igbo
ქართული
Kirundi
Kiswahili
മലയാളം
O‘zbek
Peul
Português
Русский
Soomaaliga
தமிழ்
తెలుగు
Türkçe
Twi
Українська
اردو
Yorùbá
中文



Home (Old)
Content (Old)


Indonesian (Old)
English (Old)
German (Old)
Russian (Old)\\

Home -- Kiswahili -- 17-Understanding Islam -- 100 (Don't use Christian jargon)
This page in: -- Arabic? -- Bengali -- Cebuano? -- English -- French -- Hausa -- Hindi -- Igbo -- Indonesian -- KISWAHILI -- Malayalam -- Russian -- Somali? -- Ukrainian? -- Yoruba?

Previous Chapter -- Next Chapter

17. Ufahamu Uislamu
SEHEMU YA SITA: FAHAMU WAONGOFU KUTOKA UISLAMU
SURA YA KUMI NA TANO: USHAURI KWA KANISA

15.9. Usitumie misamiati ya Kikristo


Mara nyingi lugha na maneno wanayotumia Wakristo hayana maana yoyote kwa Waislamu, Mara nyingi zinakuwa hata za kukwaza. Nakumbuka wakati nilipokuwa mwongofu mpya na niliulizwa na mtu mmoja kanisani kama nimesafishwa kwa damu ya mwana kondoo. Sikuwa na uelewa huyu mtu alikuwa anaongelea nini! Nilifikiri ilikuwa ni kutawadha kwa Wakristo ndio kusafiswa kwa damu ya mwana Kondoo na nikajikuta imenisumbua sana. Mwongofu mpya ananyonya taarifa hizi zote kama vile Sifongo; kila kitu ni kipya kwao, kitu fulani kinaweza kisieleweke kwa kirahisi tu. Hivyo epuka kutumia misamiati migumu bila sababu za muhimu, au ambayo maana yake haitaeleweka kwa haraka kwa mtu ambaye hajakulia kanisani.

www.Grace-and-Truth.net

Page last modified on March 11, 2024, at 03:10 AM | powered by PmWiki (pmwiki-2.3.3)