Grace and TruthThis website is under construction ! |
|
Home Afrikaans |
Home -- Kiswahili -- 17-Understanding Islam -- 070 (Belief in the preservation of the Qur’an and the corruption of the original Bible)
This page in: -- Arabic? -- Bengali -- Cebuano? -- English -- French -- Hausa -- Hindi -- Igbo -- Indonesian -- KISWAHILI -- Malayalam -- Russian -- Somali? -- Ukrainian? -- Yoruba?
Previous Chapter -- Next Chapter 17. Ufahamu Uislamu
SEHEMU YA TANO: FAHAMU MAPINGAMIZI YA WAISLAMU DHIDI YA INJILI
SURA YA KUMI NA TATU: MAPINGAMIZI YA WAISLAMU DHIDI YA UKRISTO
13.1. Imani juu ya kutunzwa kwa Qur’an na kuharibiwa kwa Biblia ya asiliMadai ya Waislamu juu ya mada hii yanakuja kutoka katika namna tofauti lakini kimsingi ni kama ifuatavyo:
Madai haya ya Waislamu yanaweza kuchemshwa chini kwamba: i) Muhammad alikariri Qur’an wakati wa kufunuliwa kwake.
ii) Muhammad pale pale aliiamuru Qur’an kwa masahaba wake walioiandika chini bila kuihariri.
iii) Kumekuwako na toleo moja tu ya Qur’an.
iv) Nakala zote za Qur’an zinafanana na hakuna tofauti.
v) Qur’an imehifadhiwa kwa ukamilifu.
vi) Qur’an ni ya juu na bora zaidi kuliko maandiko matakatifu mengine maana mengine yote yamebadilishwa, huku Qur’an pekee imehifadhiwa.
Haya madai ya kukuza yamezoeleka sana miongoni mwa Waislamu, iwe ni Wanazuoni au Waislamu wa kawaida; Kimsingi ni matangazo ya kuuza viawanja tu na hayawezi kubaki imara ukifanyika uchunguzi wowote kuyachunguza. Kabla hatujaangalia Biblia inasimama wapi dhidi ya vigezo hivi, Ngoja tuangazie Qur’an yenyewe tuone kama kuna kutosimama katika jambo moja kwenye madai haya. |