Home
Links
Contact
About us
Impressum
Site Map?


Afrikaans
عربي
বাংলা
Dan (Mande)
Bahasa Indones.
Cebuano
Deutsch
English-1
English-2
Español
Français
Hausa/هَوُسَا
עברית
हिन्दी
Igbo
ქართული
Kirundi
Kiswahili
മലയാളം
O‘zbek
Peul
Português
Русский
Soomaaliga
தமிழ்
తెలుగు
Türkçe
Twi
Українська
اردو
Yorùbá
中文



Home (Old)
Content (Old)


Indonesian (Old)
English (Old)
German (Old)
Russian (Old)\\

Home -- Kiswahili -- 17-Understanding Islam -- 033 (Christ Raised to heaven)
This page in: -- Arabic? -- Bengali -- Cebuano? -- English -- French -- Hausa -- Hindi -- Igbo -- Indonesian -- KISWAHILI -- Malayalam -- Russian -- Somali? -- Ukrainian? -- Yoruba?

Previous Chapter -- Next Chapter

17. Ufahamu Uislamu
SEHEMU YA TATU: FAHAMU KRISTO MUISLAMU
SURA YA SITA: KRISTO KATIKA UISLAMU

6.5. Kristo alinyakuliwa kwenda mbinguni


Mafundisho ya kiislamu juu ya mwisho wa maisha ya Kristo duniani yanachanganya. Qur’an inasema:

“Na pale Mwenyezi Mungu aliposema: Ewe Isa Mimi nitakufisha na nitakunyanyua kwangu, na nitakutakasa na waliokufuru, nitawaweka wale waliokufuata juu ya wale waliokufuru mpaka siku ya kiyama” (Qur’an 3:55)

Wanazuoni wa Kiislamu hawako wazi na hawana uhakika kuhusu kipi kinachomaanishwa na Qur’an kwa kutumia neno lililotafsiriwa kama “Nitakufisha”, neno la Kiarabu linalotumika, “mutawaffeeka” inamaanisha kifo kama kusulubiwa ni mojawapo ya kweli kadhaa zilizothibitishwa uhalisia wake wa kihistoria na wanazuoni wa Kiislamu wamejaribu kupatanisha mafundisho ya Qur’an kuhusu kifo chake na uhalisia wa kusulubiwa kwake kihistoria. Neno mutawaffeeka lina utata kuhusu inamaanisha nini hasa hii imefanya kuwa na tafsiri nyingi tofauti kuhusu aya yenyewe. Wanazuoni wachache wanaamini kwamba aya hii inamaanisha Kristo alikufa na kufufuka (Kama Wakristo wanavyoamini) lakini wengi wao hawaamini hivyo. Baadhi husema hilo la kufa haijatokea lakini itatokea badaye: Atakuja kufa na kufufuka kutoka kwa wafu. Wengine husema Allah atakuja kumzawadia Kristo, wengine wanasema atainuliwa kwa hadhi ya juu kuliko mtu yoyote Yule, na bado wengine wanasema alinyanyuliwa juu mbinguni kimwili kabisa na atarudi tena.

www.Grace-and-Truth.net

Page last modified on March 10, 2024, at 12:27 AM | powered by PmWiki (pmwiki-2.3.3)